Wednesday, February 23, 2011

WA BONGO FLEVA, FILAMU DIMBANI J MOSI

Vikosi vya wachezaji wa timu ya waimba muziki wa kizazi kipya na waigiza filamu Tanzania
 vinatarajia kupambana jumamaosi hii katika dimbA la Taifa kuchangisha pesa kwa ajili ya wahanga wa mabomu ya GONGO LA MBOTO

Maandalizi kwa ajili ya mpambano huo yamekamilika na kinachosubiliwa ni siku husika huku kila timu ikijinoa vilivyo kwa mtanange huo

Wadau tunapaswa kujitokwza kwa wingi kuwachangia ndugu zetu wa GONGO LA MBOTO