Wednesday, February 23, 2011

KINDUMBWENDUMBWE UEFA LEO


Michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya inatarajiwa kuendelea tena leo wakati mashetani wekundu (man united ) wakiwa wageni wa Olympic marseille huku AC MILAN wakiwaalika BAYERN MUNICH.
Hapo jana CHELSEA walikandamiza FC COPPENHAGEN mabao 2-1 huku MADRID wakienda sare ya 1-1 na LYON.