Sunday, February 27, 2011

BONGO FLEVA WAWAPELEKA PUTA WACHEZA FILAMU

Ally kiba shujaa wa mchezo

 Kikosi ca Bongo Fleva
Kikosi cha wana muziki wa kizazi kipya jana kilidhihirisha ubabe wake kwa wenzao waigizaji muvi baada ya kuwatandika 2-0 katika mchezo maalum ulioandaliwa na CLOUDS FM na CLOUDS TV kwa ajili ya kuchangia waathirika wa mabomu yaliyolipuka gongo la mboto

Shujaa wa Bongo fleva katika mchezo huo ni mwanamuziki H BABA aliyetupia goli zote wavuni baada ya kumalizia kazi nzuri zilikuwa zikifanywa na Ally Kiba
 'Wazee wa location' Kikosi cha Bongo Movie


 Shabiki kwa raha zake



 Ahsanteni Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi
THT DANCES walikuwepo kutoa burudani

Mavituuuuz ya Ally Kiba

 Adam Mchomvu kutoka mjengoni


Hatimaye wana BONGO FLEVA wakajitwalia mwali wao

Hapa dogo janjaro hapa Diamond ni raha tuuuu