Ally kiba shujaa wa mchezo
|
Kikosi ca Bongo Fleva |
Kikosi cha wana muziki wa kizazi kipya jana kilidhihirisha ubabe wake kwa wenzao waigizaji muvi baada ya kuwatandika 2-0 katika mchezo maalum ulioandaliwa na
CLOUDS FM na
CLOUDS TV kwa ajili ya kuchangia waathirika wa mabomu yaliyolipuka gongo la mboto
Shujaa wa Bongo fleva katika mchezo huo ni mwanamuziki
H BABA aliyetupia goli zote wavuni baada ya kumalizia kazi nzuri zilikuwa zikifanywa na
Ally Kiba
|
'Wazee wa location' Kikosi cha Bongo Movie |
|
|
|
Shabiki kwa raha zake |
|
|
|
|
Ahsanteni Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi |
|
THT DANCES walikuwepo kutoa burudani |
|
Mavituuuuz ya Ally Kiba |
|
Adam Mchomvu kutoka mjengoni |
|
|
|
Hatimaye wana BONGO FLEVA wakajitwalia mwali wao |
|
Hapa dogo janjaro hapa Diamond ni raha tuuuu |