Thursday, February 17, 2011

BREKING NEEEEEEWS

HALI BADO SI SHWALI GONGO LA MBOTO

 Kama sio Tanzania vile lakini hiyo ndio hali halisi
 

 Ambulance zilipiga trip kwa sana



 Ni kuchapa mbio tu usiku wa jana hali ni tete sana



 Majeruhi akipata huduma ya kwamza




 Daktari wa Hospitali ya amana akiwa amembeba mtoto aliyepoteza wazazi wake
 


 Askari akisaidia majeruhi wa mabomu ya Gongo la mboto




 Meya wa jiji la Dar es Salaam Jerry Silaa akiwa katika tukio hilo jana usiku