Kama sio Tanzania vile lakini hiyo ndio hali halisi |
Ambulance zilipiga trip kwa sana |
Ni kuchapa mbio tu usiku wa jana hali ni tete sana |
Majeruhi akipata huduma ya kwamza |
Daktari wa Hospitali ya amana akiwa amembeba mtoto aliyepoteza wazazi wake |
Askari akisaidia majeruhi wa mabomu ya Gongo la mboto |
Meya wa jiji la Dar es Salaam Jerry Silaa akiwa katika tukio hilo jana usiku |