Sunday, February 13, 2011

HAPPY VALENTINE DAY WADAU




KESHO watanzania kote nchini wanaungana na watu wote DUNIANI kuadhimisha SIKU YA WAPENDANAO maarufu kama 'VALENTINE DAY' ambayo kidunia huadhimishwa kila ifikapo tarehe 14 februari.

Ni matumaini yangu kuwa tutaadhimisha siku hii kwa amani na Upendo kwa kuzingatia maadili ya KITANZANIA

 H aya jamani