Saturday, March 12, 2011

NI VITA LEO MAN UNITED VS ARSENAL

Dakika 90 kuamua nani mbabe?

 Manchester United na Arseanal zinakutana eo katika dimba la OLD TRAFFORD katika robo fainali ya kombe la FA huku kila timuikwa na maumivu makali baada ya kuboronga katika michezo yao iliyopita.

Wakati man u wakiugulia vipigo viwili mfululizo toka kwa chelsea na Liverpool wao Arsenal bado wanaweweeka na kupokwa ubingwa wa CARLING na Birminingham pamoja na kutolewa katika michuano ya UEFA na Barcelona.

Hali hiyo ndiyo inayofanya mchezo wa leo kutotabilika na mwamuzi pekee ni dk 90 tu ndipo tutajua nani anaendelea na maumivu na nani amepunguza maumivu.