Wednesday, March 9, 2011

ARSENAL YAFIA NOU CAMP


 Barcolona jana walidhihirisha ubabe wao baada ya kuwatoa nishai Arsenal kwa kuichapa mabao 3-1 katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya uliofanyika katika dimba la NOU CAMP nchini Hispania

Shujaa wa mchezo huo ni mchezaji bora wa duni Leonel M ssi aliyefunga mawili huku Xavi akifunga moja


Kadi ya utata


Xavi


Messsssssssssiiii


kama anamwambia"pole mdogo wangu"