|
Wayne Rooney akishangilia baada ya kufunga bao la pili dhidi ya Aston Villa jana. |
Manchester United imezidi kujikita kileleni mwa ligi kuu ya soka nchini uingereza baada ya jana kuifunga Asto Villa 3-1 katika dimba la Old Trafford.
Wayne Rooney alizinduka toka kwenye usingizi mzito na kutupia mbili nyavuni kabla ya Luis Nani kokandamiza la tatu na kuihakikishia man u ushindi mnono wa na pointi tano juu ya wanaowafuata Arsenal.
Katika mechi nyingine za hapo jana Arsenal iliwanyanyasa Everton kwa kuishindilia mabao 2-1 huku Chelsea ikiwa na Fernando Torres wakiichabanga bila huruma Sunderland 4-2.
|
Daren Clichy akichuana na Coullen wa Evarton jana. |
|
Frank Lampard akiifungia CHELSEA bao la pili dhidi ya Sunderland jana. |