Sunday, February 13, 2011

BAO LA MWAKA..UNABISHAAAA....?

 Wayne Ronney akifunga kwa tik-tak jana dhidi ya mahasimu wao Man City

Mshambuliaji Wayne Rooney jana aliwalaza vema wapenzi wa Man United baada ya kuifungia timu yake bao mwanana ambalo linasemekana halijawahi kufungwa tangu kuanza kwa msimu huu.

Rooney alipiga bao hilo akiipa Man U ushindi wa 2-1 dhidi ya mahasimu wao Manchester City mchezo uliosukumwa katika dimba la Old Trafford.


Wayne Rooney akishangilia na Luis Nani jana