Tuesday, January 18, 2011

mambo ya 50 cent

Nguli wa hip hop nchini Marekani 50 cent amezindua rasmi head phone zake zenye thamani ya dola za kimarekani, USD500000 sawa na shilingi za kitanzania milioni 750.

Jamaa amekamilisha mzigo huo ikiwa ni siku chache tu tangu nguli mwingine wa muziki huo Jay z kuzindua aina nyingine ya headphone zenye thamani ya shilingi za kibongo mil 500.

50 amezizungumzia headphone hizo kuwa ni moto wa kuotea mbali kwani zina teknolojia zote ikiwemo bruetooth,pia zina uwezo wa kumjulisha kile kinachojili katika usafili wake(gari),muda alikotumia katika matembezi yake, na sehemu anayoelekea. duuh umetisha bwana 50 ila kaa chonjo wachina wakizipata tu watazichakachua banaaaaaaaaaaaaaaaa
 Rapa 50 cent