Vikosi vya wachezaji wa timu ya waimba muziki wa kizazi kipya na waigiza filamu Tanzania
vinatarajia kupambana jumamaosi hii katika dimbA la Taifa kuchangisha pesa kwa ajili ya wahanga wa mabomu ya GONGO LA MBOTO
Maandalizi kwa ajili ya mpambano huo yamekamilika na kinachosubiliwa ni siku husika huku kila timu ikijinoa vilivyo kwa mtanange huo
Wadau tunapaswa kujitokwza kwa wingi kuwachangia ndugu zetu wa GONGO LA MBOTO