Kindumbwendumbwe cha ligi ya mabingwa barani ulaya kinatarajiwa kuendelea tena kesha kwa Arsenal kupambana na Barcelona huku Tottenham wakiwaarika majeruhi AC MILAN katika dimba la Acton Pack
Mechi ya Arsenal na Barcelona ndiyo iliyoonekana kukamata vichwa vya wengi mara baada ya Arsenal kuiangamiza Barca 2-1 katika mchezo wa awali uliofanyika katika dimba la EMIRATES nchini Uingeleza