Barcolona jana walidhihirisha ubabe wao baada ya kuwatoa nishai Arsenal kwa kuichapa mabao 3-1 katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya uliofanyika katika dimba la NOU CAMP nchini Hispania
Shujaa wa mchezo huo ni mchezaji bora wa duni Leonel M ssi aliyefunga mawili huku Xavi akifunga moja
Kadi ya utata
Xavi
Messsssssssssiiii
kama anamwambia"pole mdogo wangu" |